Juni
mwezi wa sita katika mwaka
Mei - Juni - Jul | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | |||||
Kalenda ya Gregori |
Mwezi wa Juni ni mwezi wa sita katika Kalenda ya Gregori. Jina lake limetokana na jina la mungu wa Warumi Juno.
Tarehe 21 ya mwezi huo wa Juni (katika miaka mingine inawezekana kuwa tarehe 20 au 22) ni siku ya solistasi ya Kaskazini (kutoka Kiingereza solstice), yaani wakati jua linapokuwa kaskazini kabisa mwa Ikweta.
Juni ina siku 30, na hakuna mwezi mwingine unaoanza na siku ya juma sawa na mwezi wa Juni katika mwaka uleule.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz