333 KK
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 5 KK |Karne ya 4 KK |Karne ya 3 KK |►
◄ | Miaka ya 350 KK | Miaka ya 340 KK | Miaka ya 330 KK | Miaka ya 320 KK |Miaka ya 310 KK |►
◄◄ | ◄ | 336 KK | 335 KK | 334 KK | 333 KK |332 KK |331 KK |330 KK |► |►►
Makala hii inahusu mwaka 333 KK (Kabla ya Kristo).
Matukio
Ugiriki wa Kale / Uajemi
- Aleksander Mkuu anaendelea na vita katika Anatolia dhidi ya Uajemi. Anafungua fundo la Gordion kwa kuikata.
- Novemba - Mapigano ya Issos, Aleksander anashinda jeshi la Mfalme Mkuu Darius III wa Uajemi. Mfalme anakimbia lakini mke na watoto wake wanakamatwa na Wagiriki.
Roma ya Kale
- Publius Cornelius Rufinus anachaguliwa kuwa dikteta wa jamhuri ya Roma.
Waliozaliwa
- Zenon wa Kition ni mwanafalsafa Mgiriki na mwanzisilishaji wa falsafa ya stoa († 264 KK)
Waliofariki
- Memnon wa Rhodos aliyekuwa jemadari Mgiriki wa kukudoshwa
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz