Bahari ya Mashariki ya China
Bahari ya Mashariki ya China (ing. East China Sea) ni bahari ya pembeni iliyopo kando ya mashariki mwa nchi ya China, pamoja na Bahari ya Njanona Bahari ya Kusini ya China.[1] [2]
Bahari hiyo ni sehemu ya Bahari Pasifiki na ina eneo la kilomita za mraba zipatazo 1,249,000. Nchini China, bahari hii inaitwa Bahari ya Mashariki.
Nchini Korea Kusini, bahari hii kuna kipindi huitwa Bahari ya Kusini, lakini hii mara nyingi hutumiwa kutajia eneo la karibu na pwani ya kusini mwa nchi ya Korea Kusini.
Tanbihi
Viungo vya nje
- Gas and oil rivalry in the East China Sea Archived 2009-07-18 at the Portuguese Web Archive Asia Times Online. 27 Julai 2004.
- Chinese submarine enters Japanese waters. Wikinews. 18 Novemba 2004. Retrieved 7 Machi 2006.
- Oil and gas in troubled waters The Economist. 6 Oktoba 2005.
- J Sean Curtin. Stakes rise in Japan, China gas dispute Archived 7 Novemba 2009 at the Wayback Machine. Asia Times Online. 19 Oktoba 2005.
- Chinese Suyan Rock community Archived 10 Aprili 2021 at the Wayback Machine.
Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Bahari ya Mashariki ya China kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz