Bendera ya Poland
Bendera ya Poland ni ya milia miwili ya kulala yenye rangi za nyeupe na nyekundu. Mlia mweupe uko upande wa juu, mlia mwekundu uko chini.
Bendera ilianzishwa kwa azimio la Bunge la Poland mwaka 1831. Rangi hizi mbili zilipatikana katika nembo ya nchi tangu karne tisa ikionyesha tai nyeupe juu ya rangi nyekundu.
Bendera za kufanana
Bendera ileile inapatikana Bohemia (ni sehemu ya Uceki), Thuringia (jimbo la Ujerumani) na Kantabria (jimbo la Hispania). Bendera zinazofanana ziko Monako, Indonesia na Solothurn (jimbo la Uswisi) (rangi zilezile lakini mlia mwekundu uko juu).
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz