Boston Celtics

Timu ya chama cha mpira wa kikapu Marekani NBA yenye makao yake mjini Boston

Boston Celtics ni timu ya kulipwa ya mpira wa kikapu kutoka mjini Boston, Massachusetts. Wanachezea katika Chama cha Mpira wa Kikapu nchini Marekani. Vinara wao waliopo kwa sasa ni pamoja na Kemba Walker.

Boston Celtics
Boston Celtics logo
Boston Celtics logo
UkandaEastern Conference
DarajaAtlantic Division
Imeanzishwa1946
HistoriaBoston Celtics (1946–)
UwanjaTD Garden
MjiBoston, Massachusetts
Rangi ya timu      Green       White       Black
Mmiliki
Meneja mkuuWycliffe "Wyc" Grousbeck
Stephen Pagliuca
H. Irving Grousbeck
Kocha mkuuBrad Stevens
D-League affiliateMaine Red Claws
Ubingwa17 (1957, 1959, 1960, 1961, 1962, 1963, 1964, 1965, 1966, 1968, 1969, 1974, 1976, 1981, 1984, 1986, 2008)
Mataji ya ukanda20 (1957, 1958, 1959, 1960, 1961, 1962, 1963, 1964, 1965, 1966, 1968, 1969, 1974, 1976, 1981, 1984, 1985, 1986, 1987, 2008)
Mataji ya daraja
Tovuti rasminba.com/celtics


Viungo vya Nje

Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Boston Celtics kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.