Huruma
Huruma (kutoka neno la Kiarabu) ina maana ya wema ulio tayari kusaidia na kusamehe.[1][2]
Sifa hiyo kwanza ni wa "Mungu" kadiri ya dini mbalimbali, zikiwemo Uyahudi,[3] Ukristo[4] na Uislamu.[5]
Katika karne ya 20, iliyojaa ukatili wa vita vingi, sifa hiyo imezingatiwa zaidi katika ibada kwa Huruma ya Mungu.[6][7]
Kutokana na imani hiyo, binadamu pia anapaswa kuwa na huruma na kutekeleza matendo ya huruma ya kiroho na ya kimwili.[8][9][10][11]
Hata katika jamii, huruma inahitajika katika mahusiano yoyote pamoja na haki.[1][2]
Yesu alitangaza (Math 5:7), "Heri wenye huruma, maana hao watapata huruma" (kutoka kwa Mungu).[4][12]
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz