Jumuiya
Jumuiya (kwa Kiingereza: Commonwealth) kwa asili ya neno ni eneo la nchi lililotengwa kwa ajili ya utawala ndani ya dola fulani. Baadaye hutumiwa pia kwa muungano wa nchi kwa ajili ya malengo zilizo nayo pamoja.
Mifano
Baadhi ya mifano ya jumuiya ni:
- Jumuiya ya Madola
- Jumuiya ya Afrika ya Mashariki
- Jumuiya ya Nchi Huru
- Jumuiya ya Kiuchumi ya Ulaya
- Jumuiya ya Nchi za Kiarabu
- Jumuiya ya nchi zinazozalisha mafuta duniani
Marekani
Nchini Marekani majimbo manne tu huitwa Commonwealth:
- Commonwealth of Kentucky
- Commonwealth of Massachusetts
- Commonwealth of Pennsylvania
- Commonwealth of Virginia
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz