Los Angeles Clippers

Timu ya mpira wa kikapu ya Marekani

Los Angeles Clippers ni timu ya kulipwa ya mpira wa kikapu kutoka mjini Los Angeles, California. Wanachezea katika Chama cha Mpira wa Kikapu nchini Marekani. Vinara wao waliopo kwa sasa ni pamoja na Kawhi Leonard.

baadhi ya wachezaji katika timu
nembo ya timu

Viungo vya Nje


Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Los Angeles Clippers kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.