Lugha ya programu
Lugha ya programu ni aina ya lugha iliyoandikwa inayoongoza tarakilishi kufanya kazi fulani kama inayotarajiwa na mwandishi. Lugha za namna hiyo zinatumika kuandaa programu zote za kompyuta. Ni kama seti ya maelekezo ya kufuata.
Kosa dogo katika kuandika linaweza kusababisha madhara makubwa. Hivyo ni lazima uhakikishe umeandika vizuri kila herufi, tarakimu au alama nyingine yoyote.
Hapa chini kuna orodha ya lugha za programu:
Yaliyomo: Mwanzoni - 0–9 A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z
A
- ActionScript
- Ada
- AppleScript
B
C
D
- D
- Data Base
- DarkBASIC
F
- F#
- Fortran
- Flutter
G
- Go
H
- Haskell
- Hope
- HTML
J
- Java
- JavaScript
- Julia
K
- Karel
- Kotlin
L
- LISP
- Logo
- Lua
M
- Mercury
- Miranda
O
- Objective-C
- OCaml
P
Q
- QBasic
R
- Ruby
- Rust
- R
S
- Scala
- Scheme
- SNOBOL
- SQL
- Standard ML
- Symsyn
T
- Tcl
- TypeScript
V
- Visual Basic
- Visual Basic .NET
Y
- Yabasic
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz