Maumivu
Maumivu ni jina la kutaja wimbo uliotungwa na Bob Junior akiwa na mwimbaji wa muziki wa hip hop ROMA. Wimbo unazungumzia mtu anayejitia mwema ilhali si mwema. Wimbo umerekodiwa baada ya ahadi aliyoifanya ROMA mapema 2014 ya kwamba iwapo Brazili watafungwa katika michuano ya Kombe la Dunia, basi atatoka Tongwe Records na kuhamia Sharobaro Records kwa Bob Junior. Ahadi ameitimiza.
“Maumivu” | |||||
---|---|---|---|---|---|
Single ya Bob Junior akiwa na ROMA | |||||
Imetolewa | 14 Agosti 2014 | ||||
Imerekodiwa | 2014 | ||||
Aina | Hip Hop na Bongo Flava | ||||
Studio | Sharobaro Records | ||||
Mtunzi | Bob Junior ROMA | ||||
Mtayarishaji | Bob Junior | ||||
Mwenendo wa single za Bob Junior akiwa na ROMA | |||||
|
Tazama pia
Viungo vya nje
- http://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/706980-r-o-m-a-mkatolik-ft-bob-junior-maumivu.html[dead link] katika Jamii Forum
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani wa Afrika bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Maumivu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz