Mboga (mmea)
Mboga | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mboga-refu (Cucurbita moschata) | ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
|
Miboga, pia milenge, ni mimea ya familia Cucurbitaceae kwenye jenasi Cucurbita, Momordica na Coccinia. Hukuzwa sana duniani kokote kwa ajili ya matunda yao makubwa yanayoitwa maboga.
Spishi zinazokuzwa katika Afrika
- Coccinia grandis, Mboga-mwitu au Mruho (Ivy gourd)
- Cucurbita maxima, Mboga-kubwa au Mlenge (Cucurbita maxima)
- Cucurbita moschata, Mboga-refu, unatimiza Mboga-chupa (Cucurbita moschata)
- Cucurbita pepo, Mboga wa Kawaida au Mlenge, unatimiza Mboga-dogo na Mboga-jeupe (Cucurbita pepo)
- Momordica charantia, Mboga-chungu, Mtango-chungu au Mkarela (Bitter gourd)
Picha
- Mrihu (mboga-mwitu)
- Mboga-kubwa
- Mboga-refu
- Mboga-chupa
- Mlenge
- Maboga meupe
- Mboga-dogo
- Mkarela (mboga-chungu)
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz