Mkoa wa Ngounié
Ngounié ni moja kati ya mikoa tisa ya nchini Gabon. Mkoa unachukua eneo la kilomita za mraba zipatazo 37,750. Mji mkuu wa mkoa huu ni Mouila.
Kwa upande kusii-mashariki, Ngounié umepakana na Mkoa wa Niari wa Jamhuri ya Kongo. Kwa upande wanyumbani, mkoa umepakana na mikoa ifuatayo:
- Nyanga - kusini
- Ogooué-Maritime - magharibi
- Moyen-Ogooué - kaskazini
- Ogooué-Ivindo - kaskazini-mashariki, kwenye pembe nne ya nchi
- Ogooué-Lolo - mashariki
Departments
Ngounié is divided into 7 departments:
- Boumi-Louetsi Department (Mbigou)
- Dola Department (Ndende)
- Douya-Onoy Department (Mouila)
- Louetsi-Wano Department (Lebamba)
- Ndolou Department (Mandji)
- Ogoulou Department (Mimongo)
- Tsamba-Magotsi Department (Fougamou)
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz