Moyo mkuu
Moyo mkuu ni adili linaloonyesha ukuu wa mitazamo na miguso ya mtu.
Linaendana na utayari wa kukabili magumu na hatari kwa lengo fulani muhimu.
Kwa Kigiriki linaitwa megalopsuchia, ambalo Aristotle alilitaja kama "taji la maadili yote". Kwa Kilatini linaitwa magnanimitas, neno lenye maana ile ya moyo mkuu.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz