Muziki wa rock
Muziki wa rock ni jina la kutaja aina ya muziki wa pop ambao mara nyingi, lakini siyo siku zote, unapigwa kwa gitaa la umeme, gitaa la besi, ngoma, na kuimba. Muziki huu ulianza miaka ya 1950 huko Marekani kama muziki wa rock and roll na baadaye ukabadilika kupitia mitindo mbalimbali hasa nchini Uingereza na Marekani. Muziki huu ulichukua staili mbalimbali toka kwenye muziki kama Jazz, Klasiki ma muziki wa watu weusi wa Marekani kama Blues.
Viungo vya Nje
- Muziki wa rock kwenye tovuti ya DMOZ Archived 7 Novemba 2017 at the Wayback Machine.
Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Muziki wa rock kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz