Oklahoma City Thunder

Timu ya Kimarekani ya mpira wa kikapu yenye makao yake Oklahoma City, Marekani

Oklahoma City Thunder ni timu ya kulipwa ya mpira wa kikapu kutoka mjini Oklahoma City, Oklahoma. Wanachezea katika Chama cha Mpira wa Kikapu nchini Marekani. Vinara wao waliopo kwa sasa ni pamoja na Chris Paul. Timu ilianzishwa mnamo mwaka wa 1967.

Uwanja wa Nishati wa Chesapeake ulianza kuwa mwenyeji wa Oklahoma City Thunder mnamo 2008.
Oklahoma City Thunder
UkandaWestern Conference
DarajaNorthwest Division
Imeanzishwa1967
HistoriaSeattle SuperSonics (1967–2008)
Oklahoma City Thunder
(2008–)
UwanjaFord Center
MjiOklahoma City, Oklahoma
Rangi ya timuOrange, Navy Blue, Blue, Gold, White
                             
MmilikiProfessional Basketball Club LLC (Clay Bennett, Chairman)
Meneja mkuuSam Presti
Kocha mkuuBilly Donovan
D-League affiliateTulsa 66ers
Ubingwa1 (1979)
Mataji ya ukanda3 (1978, 1979, 1996)
Mataji ya daraja6 (1979, 1994, 1996,

1997, 1998, 2005)

Tovuti rasminba.com/oklahomacity

Viungo vya Nje

Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Oklahoma City Thunder kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.