Pikomita

Pikomita (ing. picometer, alama pm) ni kipimo cha SI cha kutaja urefo mdogo wa mita 10−12.

Uchoraji wa atomi ya heliu ambayo ina kipenyo cha pikomita 3[1]
Simple English Wiktionary
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno:

Hi ni sawa na sehemu ya milioni 1 (yaani = 1/1,000,000) ya mikromita (inayoitwa pia mikron). Zamani iliitwa "micromicron", stigma au bicron.[2] wakati ule alama yake ilikuwa µµ.[3]

Kipimo hiki hutumiwa kwa kutaja vipimo katika fizikia ya atomi na chembe zake, kemia na elimu ya sauti. Kipenyo cha atomi ni kati ya pikomita 62 hadi 520.

Neno linatokana na lugha ya Kiitalia: piccolo (kadogo).

Marejeo