Pikomita
Pikomita (ing. picometer, alama pm) ni kipimo cha SI cha kutaja urefo mdogo wa mita 10−12.
Hi ni sawa na sehemu ya milioni 1 (yaani = 1/1,000,000) ya mikromita (inayoitwa pia mikron). Zamani iliitwa "micromicron", stigma au bicron.[2] wakati ule alama yake ilikuwa µµ.[3]
Kipimo hiki hutumiwa kwa kutaja vipimo katika fizikia ya atomi na chembe zake, kemia na elimu ya sauti. Kipenyo cha atomi ni kati ya pikomita 62 hadi 520.
Neno linatokana na lugha ya Kiitalia: piccolo (kadogo).
Marejeo
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz