Serikali ya muungano
Serikali ya muungano ni serikali inayoundwa na nchi mbili au zaidi ambapo nchi hizo huwakilishwa kimataifa kama nchi moja.
Mfano mmojawapo ni serikali ya Tanzania ambayo ni serikali ya Jamhuri ya Muungano; kielelezo chake ni serikali ya Ufalme wa Muungano wa Britania na Ireland Kaskazini.
Makala hii kuhusu "Serikali ya muungano" ni fupi mno. Inahitaji kupanuliwa mapema. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz