Milima ya Usambara
(Elekezwa kutoka Usambara)
Milima ya Usambara ni sehemu iliyoinuka upande wa Kaskazini Mashariki wa nchi ya Tanzania.
Milima ya Usambara ni milima kunjamano yaani milima iliyoshikana kutoka mlima mmoja mpaka mwingine. Ni sehemu ya Tao la Mashariki.
Wenyeji wanaoishi maeneo haya ni Wasambaa, ndiyo maana ikaitwa milima ya Usambara. Iko katika mkoa wa Tanga kuanzia Korogwe kuelekea kaskazini mpaka karibu na milima ya Upare.
Milima hiyo ni:
- Mlima Bumba
- Mlima Chambolo
- Mlima Dindila
- Mlima Gombelo
- Mlima Gonja
- Mlima Kagambe
- Mlima Kilanga
- Mlima Kilimandege
- Mlima Kwagoroto
- Mlima Kwashemhambu
- Mlima Magamba
- Mlima Makanja
- Mlima Mashindei
- Mlima Matundsi
- Mlima Mavumbi
- Mlima Mlomboza
- Mlima Myanko
- Mlima Mzinga
- Mlima Mzogoti
- Mlima Nengoma
- Mlima Shagein
- Mlima Shemausha
- Mlima Sungwi
- Mlima Zumbu
Tazama pia
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz