Washington (maana)
ukarasa wa maana wa Wikimedia
Washington ni jina linalotaja mahali na watu mbalimbali duniani.
Jina limejulikana hasa kutokana na
- Washington D.C. ambayo ni mji mkuu wa Marekani
- George Washington aliyekuwa rais wa kwanza wa nchi ile
- Washington (jimbo) ni jimbo la Marekani kando la Pasifiki.
Miji
- Washington (Tyne and Wear) nchini Uingereza (mahali walikotoka mababu wa rais George Washington)
- miji inayoitwa Washington katika Argentina, Aruba, Bolivia, Kanada, Kolombia, Kuba, Jamhuri ya Dominika, Guyana, Eire, Nikaragua, Ufilipino, Afrika Kusini, Jamaika, Brazil
- miji 40 inayoitwa Washington katika Marekani
- wilaya 31 zinazoitwa Washington nchini Marekani
Watu
- Washington imetumika kama jina la kwanza pia jina la familia
Vingine
Kuna pia meli, vyuo, barabara, milima na visiwa vinavyoitwa kwa jina hilo.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz