Waziri

Waziri (kutoka neno la Kiarabu) ni afisa wa serikali anayeongoza wizara pamoja na idara mbalimbali zilizo chini ya wizara hiyo. Waziri ambaye ni kiongozi wa serikali nzima huitwa Waziri Mkuu au kansela[1](Ujerumani na Austria).

Katika baadhi ya nchi k.v. Marekani, Kenya na Ufilipino, kiongozi wa wizara huitwa katibu.

Tanbihi

Makala hii kuhusu mambo ya sheria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Waziri kama historia yake au uhusiano wake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.