Nenda kwa yaliyomo

Mhunzi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mhunzi kazini
Mhunzi (Tanzania)

Mhunzi ni mtu anayechonga vitu vya metali.

Kwa kawaida ashughulika vifaa vya chuma au feleji. Metali hupashwa mto hadi kung'aa nyekundu na kupewa umbo linalotakiwa.

Vyombo vyake ni nyundo, koleo na fuawe.

Siku hizi shughuli nyingi za mhunzi hutekelezwa kwa mashine lakini bado kuna shughuli zinazohitaji ufundi na ujuzi wa mhunzi.

Katika historia wahunzi walihitajiwa sana katika jamii kwa sababu vifaa kama silaha au majembe yalitegemea kazi ya wahunzi.

Marejeo ya njehariri chanzo

Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mhunzi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoShairiJumuiya ya Afrika MasharikiUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziNembo ya TanzaniaMshororoMikoa ya TanzaniaVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPentekosteAina za manenoTanzaniaKamusi za KiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaOrodha ya makabila ya TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845Orodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUpendo Furaha PenezaMafurikoMisimu (lugha)KumaKisaweSentensiDiamond PlatnumzKamusi ya Kiswahili sanifuKamusiMisemoMaudhuiSimba S.C.Ukwapi na utaoTanganyikaOrodha ya Watakatifu WakristoNgeliLahaja za KiswahiliMaumivu ya kiunoRoho MtakatifuNomino