Asili
Asili (kutoka neno la Kiarabu) ni chanzo cha jambo fulani. Kila kitu kina asili yake, hakuna kitu duniani au ulimwenguni jumla kisichokuwa na asili.
Kwa mfano, kadiri ya dini mbalimbali, asili kuu ya binadamu wote ni Mungu aliyewaumba, ingawa pia Adamu na Eva wanatazamwa kuwa asili ya wale wote waliozaliwa nao.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz