Bado

'Bado ni jina la wimbo uliotoka tarehe 29 Februari, 2016 uliotungwa na kuimbwa na msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka nchini Tanzania, Harmonize akiwa na Diamond Platnumz. Huu ni wimbo wa kwanza wa Harmonize kuimba na Diamond na wa pili kutoa tangu ajiunge na WCB. Wimbo umetayarishwa na Laizer Classic. Video ya muziki huu iliongozwa na Nick Roux aliyeongoza video nyingi za Wasafi.

“Bado”
“Bado” cover
Kava la Bado
Single ya Harmonize akiwa na Diamond Platnumz
Imetolewa29 Februari, 2016
MuundoUpakuzi wa mtandaoni
Imerekodiwa2016
AinaBongo Flava
Urefu4:09
StudioWasafi Records
MtunziHarmonize
Diamond Platnumz
MtayarishajiLaizer Classic
Mwenendo wa single za Harmonize akiwa na Diamond Platnumz
"Aiyola"
(2015)
"Bado"
(2016)
"Matatizo"
(2016)

Tazama pia

Viungo vya Nje