Bado
'Bado ni jina la wimbo uliotoka tarehe 29 Februari, 2016 uliotungwa na kuimbwa na msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka nchini Tanzania, Harmonize akiwa na Diamond Platnumz. Huu ni wimbo wa kwanza wa Harmonize kuimba na Diamond na wa pili kutoa tangu ajiunge na WCB. Wimbo umetayarishwa na Laizer Classic. Video ya muziki huu iliongozwa na Nick Roux aliyeongoza video nyingi za Wasafi.
“Bado” | |||||
---|---|---|---|---|---|
Kava la Bado | |||||
Single ya Harmonize akiwa na Diamond Platnumz | |||||
Imetolewa | 29 Februari, 2016 | ||||
Muundo | Upakuzi wa mtandaoni | ||||
Imerekodiwa | 2016 | ||||
Aina | Bongo Flava | ||||
Urefu | 4:09 | ||||
Studio | Wasafi Records | ||||
Mtunzi | Harmonize Diamond Platnumz | ||||
Mtayarishaji | Laizer Classic | ||||
Mwenendo wa single za Harmonize akiwa na Diamond Platnumz | |||||
|
Tazama pia
- Aiyola
- Show Me
Viungo vya Nje
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz