Bikira Maria wa Mlima Karmeli
Bikira Maria wa Mlima Karmeli ni jina linalopewa Bikira Maria kama msimamizi wa Wakarmeli. Wa kwanza wao walikuwa wakaapweke walioishi mwishoni mwa karne ya 12 na mwanzoni mwa karne ya 13 katika Nchi Takatifu juu ya Mlima Karmeli, ambapo zamani Nabii Eliya alirudisha Waisraeli kumuabudu Mungu aliye hai.
Katikati ya makazi yao walijenga kikanisa kwa heshima ya Bikira Maria, msimamizi wao.
Tangu karne ya 15 watu wamemheshimu kwa jina hilo hasa kwa kuvaa skapulari ya kahawia inayosemekana Maria alimpa Mkarmeli Simoni Stock (1165-1265).
Kumbukumbu katika liturujia inafanyika tarehe 16 Julai.[1][2][3][2]
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Brown Scapular: a "Silent Devotion" Archived 24 Aprili 2019 at the Wayback Machine. – 2008 article via Zenit news service by Fr. Kieran Kavenaugh, OCD discusses devotion to the Brown Scapular, the existence of historical problems, and pastoral practice
- The Virgin Mary in our life Archived 8 Oktoba 2020 at the Wayback Machine. – Article about Marian devotion in the Carmelite tradition
- The apparitions of Our Lady of Mount Carmel
Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Bikira Maria wa Mlima Karmeli kama historia yake au maelezo zaidi? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz