Eiger

Eiger ni mlima wa Alpi katika nchi ya Uswisi (Ulaya).

Mlima wa Eiger upande wa Kaskazini

Urefu wake ni mita 3,970 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia

Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Eiger kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.