Elementi za kundi la 3
Elementi za kundi la 3 ni kikundi kwenye jedwali la elementi au mfumo radidia
Ni mojawapo ya vikundi 18 kwenye mfumo radidia . Elementi za kikundi hiki ni pamoja na:
- Skandi
- Ytri
- Luteti (au lanthani )
- Laurenti (au aktini )
Elementi mbili za kwanza za kundi hili zinaeleweka, lakini kuhusu mbili zinazofuata kuna tofauti ya maoni kati ya wataalamu.
Kikundi hiki kinaitwa kundi la I - {IIIB} - la elimenti.
- Skandi
- Ytri
- Lanthani
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz