Hataza
Hataza (Kiingereza patent) ni haki ya kisheria anayopewa mbunifu ya kukataza mtu mwingine asichukue au kuiga ubunifu wake bila idhini yake. Mtoa haki ni serikali ya nchi kufuatana na sheria husika.
Hataza inaunda haki ya mwenye hataza kuzuia wengine wasitengeneze, wasitumie au wasiuze ubunifu wake kwa muda wa miaka fulani baada ya kuandikishwa kwa uvumbuzi katika ofisi ya hataza ya serikali[1]. Haki ya hataza inakuja pamoja na wajibu wa kueleza hadharani muundo na upekee wa ubunifu.
Nchini muda wa hataza ni tofauti kati ya nchi na nchi. Tanzania kuna kipindi cha miaka 20 kuanzia kukabidhi kwa hati ya hataza kwa wakala wa serikali.[2] .
Marejeo
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz