Hifadhi ya Taifa ya Dinder
Hifadhi ya Taifa ya Dinder ni mbuga ya taifa na hifadhi ya viumbe hai iliyopo mashariki mwa Sudani, na imeunganishwa na Mbuga ya taifa ya Alitash ya Ethiopia. [1]
Mahali
Dinder iko takribani kilomita 400 kusini mashariki mwa Khartoum, upande wa pili wa Mto Dinder unaopakana na Mto Rahad kuelekea kaskazini. [2]
Mji wa Dinder upo kilomita 100 kaskazini magharibi hutumika kama lango la watalii wanaotaka kuingia kwenye hifadhi. [3]
Marejeo
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Hifadhi ya Taifa ya Dinder kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoShairiJumuiya ya Afrika MasharikiUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziNembo ya TanzaniaMshororoMikoa ya TanzaniaVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPentekosteAina za manenoTanzaniaKamusi za KiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaOrodha ya makabila ya TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845Orodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUpendo Furaha PenezaMafurikoMisimu (lugha)KumaKisaweSentensiDiamond PlatnumzKamusi ya Kiswahili sanifuKamusiMisemoMaudhuiSimba S.C.Ukwapi na utaoTanganyikaOrodha ya Watakatifu WakristoNgeliLahaja za KiswahiliMaumivu ya kiunoRoho MtakatifuNomino