Hippokrates
(Elekezwa kutoka Hippocrates)
Hipokrate (kwa Kigiriki Ἱπποκράτης; kisiwani Kos, mnamo 460 KK; Larisa, Ugiriki, mnamo 370 KK) alikuwa mganga mashuhuri wa Ugiriki ya Kale. Hadi leo waganga hufuata kiapo kinachosemekana kilitungwa na Hipokrate.
Hipokrate huitwa "baba wa uganga". Anafahamika kwa mtindo wake wa kuangalia magonjwa uliokuwa mpya wakati ule. Hakuamini tena ya kwamba ugonjwa unasababishwa na pepo, uchawi au ulozi. Alifanya utafiti wa kila mgonjwa, akifundisha magonjwa husababishwa na matatizo ndani ya mwili. Hakuelewa bado ya kwamba kuna vijidudu vinavyosababisha magonjwa. Hata hivyo alikuwa na maarifa mengi yanayokumbukwa na madaktari hadi leo.
Kati ya mawazo yake ya kudumu ni masharti kwa kazi ya daktari yaliyomo katika kiapo cha Hipokrate:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz