JoAnne Kloppenburg

JoAnne F. Kloppenburg (amezaliwa Septemba 5, 1953) ni jaji wa Mahakama ya Rufaa ya Wisconsin, akihudumu tangu 2012 katika Wilaya ya IV yenye makao yake Madison[1].

Mheshimiwa JoAnne Kloppenburg


Jaji wa Mahakama ya Rufaa ya Wisconsin
Aliingia ofisini 
August 1, 2012
mtanguliziMargaret J. Vergeront

tarehe ya kuzaliwa5 Septemba 1953 (1953-09-05) (umri 70)
jina ya kuzaliwaJoAnne Fishman
utaifaMarekani
ndoaJack Kloppenburg
mhitimu waChuo Kikuu cha Yale
Chuo Kikuu cha Princeton
Chuo Kikuu cha Wisconsin, J.D.

Kloppenburg awali alikuwa msaidizi wa mwanasheria mkuu katika Idara ya Haki ya Wisconsin na alikuwa mgombea wa Mahakama ya Juu ya Wisconsin mwaka wa 2011 na 2016.[2]

Maisha binafsi

JoAnne Kloppenburg ameolewa na Jack Kloppenburg, mhitimu mwenzake wa Chuo Kikuu cha Yale. Walijiunga na Peace Corps pamoja baada ya ndoa yao.[3] Jack sasa ni profesa katika Chuo Kikuu cha Wisconsin.

Tanbihi


Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu JoAnne Kloppenburg kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.