Juhudi

Juhudi (kutoka neno la Kiarabu juhudجهود) ni matumizi makubwa ya akili, ujuzi, maarifa na nguvu ili kujipatia maendeleo ya kiroho, ya kiuchumi n.k.

Buddha alifanya juhudi nyingi kabla ya kuhimiza wastani.[1] Fransisko wa Assisi pia alifanya juhudi nyingi.[2]

Dini nyingi zinahimiza juhudi katika maadili na maisha ya kiroho.

Tanbihi

Marejeo

Marejeo mengine

Wikiquote ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu:
  • Valantasis, Richard. The Making of the Self: Ancient and Modern Asceticism. James Clarke & Co (2008) ISBN|978-0-227-17281-0.

Viungo vya nje

Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno:
  • Asketikos- articles, research, and discourse on asceticism.