Nguvu
Nguvu ni uwezo wa kusababisha jambo fulani.
Kwa mfano,
- katika kiumbehai ni uwezo wa kosogea, kuinua vitu n.k.
- katika jinsia mara nyingi ni sifa inayopatikana zaidi katika ile ya kiume kuliko ile ya kike
- katika siasa ni mamlaka ya kuamua na kuagiza
- katika fizikia ni msukumo au mgongano wa vitu ambao unatoa nishati na unaitwa kani
- katika uchumi ni rasilimali au fedha za mtu
- katika elimu jamii ni tunda la mshikamano wa watu au taasisi
- katika maadili ni mojawapo ya maadili bawaba
- katika dini ni hasa uweza wa Mungu ambao unasisitizwa kwa kumuita Mwenyezi Mungu, yaani Mweza yote.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz