Kadeisha Buchanan
Mchezaji wa chama cha soka cha Kanada
Kadeisha Buchanan (anajulikana kama Keisha; alizaliwa 5 Novemba 1995) ni Mkanada mchezaji wa soka wa Olimpiki katika kikosi cha kwanza cha wanawake. Pia ni mwanachama wa timu ya wanawake ya taifa ya mpira wa miguu. Alizaliwa Toronto na kukulia Brampton,Ontario. Ni mdogo kati ya familia ya watoto wa kike saba waliokuzwa na mzazi mmoja nyumbani na alikuwa na miaka 17 tu alipojiung na timu ya taifa ya mpira wa miguu hapo januari 12,2013.Buchanan ni mshindi mara tatu wa mpira wa miguu kanada wa mwaka alitwaa ushindi miaka ya 2015,2017 na 2020.[1]mwaka 2015 kombe la wanawake la mpira wa miguu.Na alishinda FIFA miongoni mwa wachezaji wadogo.[2]
Marejeo
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoShairiJumuiya ya Afrika MasharikiUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziNembo ya TanzaniaMshororoMikoa ya TanzaniaVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPentekosteAina za manenoTanzaniaKamusi za KiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaOrodha ya makabila ya TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845Orodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUpendo Furaha PenezaMafurikoMisimu (lugha)KumaKisaweSentensiDiamond PlatnumzKamusi ya Kiswahili sanifuKamusiMisemoMaudhuiSimba S.C.Ukwapi na utaoTanganyikaOrodha ya Watakatifu WakristoNgeliLahaja za KiswahiliMaumivu ya kiunoRoho MtakatifuNomino