Kajiado
Kajiado ni mji wa Kenya katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki. Mji wa Kajiado ni makao makuu ya Kaunti ya Kajiado.
Kajiado | |
Mahali pa mji wa Kajiado katika Kenya | |
Majiranukta: 1°51′0″S 36°47′0″E / 1.85000°S 36.78333°E | |
Nchi | Kenya |
---|---|
Kaunti | Kajiado |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 18,281 |
Wakazi
Idadi ya watu wanaoishi Kajiado ni 18,281 (sensa ya 2009) [1] Archived 1 Machi 2020 at the Wayback Machine.. Idadi kubwa ya watu wanaoishi Kajiado ni Wamasai.
Jina
Jina la Kajiado linatokana na neno "Orkejuado" ambalo linamaanisha "mto mrefu" katika lugha ya Kimasai. Mto huu upo magharibi mwa mji huu.
Jina halisi wa mji huu ni "Olopurupurana", ambalo lina maana ya "kilima cha mviringo".
Usafiri
Mji huu upo kusini kwa jiji la Nairobi katika barabara kuu Nairobi - Arusha.
Mji wa Kajiado una kituo katika reli ya Magadi Soda Railway ambaye inatokea Konza mpaka Magadi.
Viungo vya nje
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz