Kaunti ya Nakuru
Kaunti ya Nakuru ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.
Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 2,162,202 katika eneo la km2 7,462.4, msongamano ukiwa hivyo wa watu 290 kwa kilometa mraba[1].
Makao makuu yako Nakuru.
Utawala
Kaunti ya Nakuru ina maeneo bunge yafuatayo[2]:
Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [3]
- Gilgil 185,209
- Kuresoi North 175,074
- Kuresoi South 155,324
- Molo 156,732
- Naivasha 355,383
- Nakuru East 193,926
- Nakuru North 218,050
- Nakuru West 198,661
- Njoro 238,773
- Rongai 199,906
- Subukia 185,164
Tazama pia
Tanbihi
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz