Kaunti ya Narok
Kaunti ya Narok ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.
Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 1,157,873 katika eneo la km2 17,950.3, msongamano ukiwa hivyo wa watu 65 kwa kilometa mraba[1].
Makao makuu yako Narok.
Mara Triangle (ambayo ni sehemu ya hifadhi ya Masai Mara) imo katika eneo la Trans-Mara.
Utawala
Kaunti ya Narok imegawanywa katika maeneo bunge yafuatayo[2]:
Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [3]
- Narok East 115,323
- Narok North 251,862
- Narok South 238,472
- Narok West 195,287
- Trans Mara East 111,183
- Trans Mara West 245,714
- Mau Forest 32
Tazama pia
Tanbihi
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz