Kitila Mkumbo
Kitila Alexander Mkumbo ni mwanasiasa wa CCM wa Tanzania na mbunge anayewakilisha jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam tangu mwaka 2020.[1]
Kitaaluma ni profesa kutoka kitivo cha elimu katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na alikuwa Waziri wa Uwekezaji chini ya ofisi ya Rais, kwa sasa kama Viwanda na Biashara.[2]
Wakati wa uongozi wa John Magufuli alimteua profesa Mkumbo kama Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji.[3]
Marejeo
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoShairiJumuiya ya Afrika MasharikiUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziNembo ya TanzaniaMshororoMikoa ya TanzaniaVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPentekosteAina za manenoTanzaniaKamusi za KiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaOrodha ya makabila ya TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845Orodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUpendo Furaha PenezaMafurikoMisimu (lugha)KumaKisaweSentensiDiamond PlatnumzKamusi ya Kiswahili sanifuKamusiMisemoMaudhuiSimba S.C.Ukwapi na utaoTanganyikaOrodha ya Watakatifu WakristoNgeliLahaja za KiswahiliMaumivu ya kiunoRoho MtakatifuNomino