Koikoi

Koikoi
Koikoi kijivu
Koikoi kijivu
Uainishaji wa kisayansi
Himaya:Animalia (Wanyama)
Faila:Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli:Aves (Ndege)
Oda:Pelecaniformes (Ndege kama wari)
Familia:Ardeidae (Ndege walio na mnasaba na koikoi)
Jenasi:Ardea (Koikoi)
Linnaeus, 1758
Ngazi za chini

Spishi 12:

  • A. alba Linnaeus, 1758
  • A. cinerea Linnaeus, 1758
  • A. cocoi Linnaeus, 1766
  • A. goliath Cretzschmar, 1829
  • A. herodias Linnaeus, 1758
  • A. humbloti Milne-Edwards & A. Grandidier, 1885
  • A. insignis Hume, 1878
  • A. intermedia Wagler, 1829
  • A. melanocephala Vigors & Children, 1826
  • A. pacifica Latham, 1802
  • A. picata Gould, 1845
  • A. purpurea Linnaeus, 1766
  • A. sumatrana Raffles, 1822

Koikoi ni ndege wakubwa wa jenasi Ardea katika familia ya Ardeidae wenye miguu mirefu na domo refu na nyembamba. Hupinda shingo yao wakiruka angani. Ndege hawa wana rangi nyeupe, kijivu na nyeusi. Spishi zenye rangi ya kahawiachekundu huitwa pondagundi pia. Spishi nyingine nyeupe kabisa inaitwa msuka. Zamani ilikuwa imeainishwa ndani ya jenasi Egretta. Koikoi hupenda kula samaki lakini hula wanyama wadogo pia, kama vyura, mijusi, nyoka na panya. Hujenga matago yao kwa matawi juu ya miti. Jike huyataga mayai 2-6.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Spishi za kabla ya historia

  • Ardea bennuides (Bennu Heron)
  • Ardea formosa
  • Ardea howardae
  • Ardea polkensis (Mwanzo wa Pliocene ya Bone Valley, MMA)
  • Ardea similis
  • Ardea sp. (Kati ya Miocene ya Observation Quarry, MMA)
  • Ardea sp. (Mwisho wa Miocene ya Love Bone Bed , MMA)
  • Ardea sp. (Mwanzo wa Pleistocene ya Macasphalt Shell Pit, MMA)

Picha