Luc Abalo
Luc Abalo (aliyezaliwa 6 Septemba 1984) ni mchezaji wa mpira wa mikono Mfaransa anayechezea timu ya Zeekstar Tokyo na timu ya taifa ya Ufaransa. [1]
Akiwa mwanachama wa timu ya taifa tangu 2005, alishinda medali za dhahabu katika mashindano ya Olimpiki ya mwaka 2008, 2009, 2011, 2012, na 2017, na mwaka 2006, 2010 na 2014 ubingwa wa Uropa.[2]
Tanbihi
Marejeo
- "XI European Championship 2014. Team Roster, France" (PDF). EHF. Retrieved 12 January 2014.
- Luc Abalo. nbcolympics.com
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoShairiJumuiya ya Afrika MasharikiUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziNembo ya TanzaniaMshororoMikoa ya TanzaniaVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPentekosteAina za manenoTanzaniaKamusi za KiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaOrodha ya makabila ya TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845Orodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUpendo Furaha PenezaMafurikoMisimu (lugha)KumaKisaweSentensiDiamond PlatnumzKamusi ya Kiswahili sanifuKamusiMisemoMaudhuiSimba S.C.Ukwapi na utaoTanganyikaOrodha ya Watakatifu WakristoNgeliLahaja za KiswahiliMaumivu ya kiunoRoho MtakatifuNomino