Luis Álvarez (mrushamishale)
Luis Antonio Álvarez Murillo (pia anajulikana kama El Abuelo, yaani Babu; amezaliwa Mexicali, Baja California, 13 Aprili 1991) ni mwanariadha wa Mexico ambaye hushiriki katika kurusha mishale.
Álvarez alichaguliwa kama mshiriki wa timu ya wanaume ya Mexico ya wapiga mishale kushindana katika Olimpiki ya Majira ya joto ya 2012 huko London, baada ya kushinda Kombe la Dunia la 2012 la wapiga mishale huko Ogden, Marekani.Hili ilikuwa michezo ya kwanza ya Olimpiki kwa mpiga mishale wa Mexico[1].Katika Olimpiki ya 2012, katika hafla ya mtu binafsi ya wanaume, aliorodheshwa wa 30 baada ya upimwaji viwango.
Marejeo
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoShairiJumuiya ya Afrika MasharikiUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziNembo ya TanzaniaMshororoMikoa ya TanzaniaVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPentekosteAina za manenoTanzaniaKamusi za KiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaOrodha ya makabila ya TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845Orodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUpendo Furaha PenezaMafurikoMisimu (lugha)KumaKisaweSentensiDiamond PlatnumzKamusi ya Kiswahili sanifuKamusiMisemoMaudhuiSimba S.C.Ukwapi na utaoTanganyikaOrodha ya Watakatifu WakristoNgeliLahaja za KiswahiliMaumivu ya kiunoRoho MtakatifuNomino