Mashine
Mashine ni kifaa kilichobuniwa na binadamu kwa kurahisisha kazi yake.
Mashine vinatumia nguvu inayoelekezwa kwa kutekeleza kazi maalumu.
Kuna mashine zenye vipande vingi vya kuzunguka kama baiskeli au saa.
Kuna mashine vyenye vipande visivyozunguka kama kompyuta au simu.
Mashine sahili
Kuna vifaa sita vinavyojulikana tangu kale na kuitwa mashine sahili (pia: mashine rahisi). Vinaongeza nguvu ya kani au vinabadilisha mwelekeo wake na kupatikana ndani ya mashine tata yaani mashine zinazojumlisha vipande vingi.
Mashine sahili ni kama zifuatazo:
Mashine tata
Mashine tata ni aina ya mashine inayohitaji kani moja au zaidi katika kufanya kazi. Mfano: Baiskeli, Cherehani n.k. kwahiyo mashine tata huundwa na mashine rahisi zaidi ya moja
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz