Mazishi

Mazishi ni taratibu za kuheshimu na kuzika maiti ya mtu au mabaki yake.

Mazishi ya Papa Yohane Paulo II (Kanisa Katoliki).
Kuchoma maiti huko Manikarnika Ghat (Uhindu)
Kufungua mdomo (Misri ya Kale).
Kotsuage (Japan).
Mazishi ya mkulima huko Connemara, Ireland, 1870

Taratibu hizo zinategemea dini na mila za wahusika, hivyo zinatofautiana sana[1].

Mara nyingi mazishi yanaendana na sala kwa ajili ya marehemu.

Kama sivyo kuna kumkumbuka na kukumlilia pamoja na kufariji wafiwa.

Mazishi ni ya zamani sana, inawezekana yalikuwepo kabla ya Homo sapiens kutokea, miaka 300,000 iliyopita.[2][2][3]

Tanbihi

Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.