Mchungaji mwema
Mchungaji mwema (kwa Kigiriki: ποιμήν ο καλός, poimḗn o kalós) ni namna mojawapo ya Yesu kuwaeleza wafuasi wake yeye ni nani kwao. Ufafanuzi wake unapatikana katika Yoh 10:1-21, anapojitofautisha na wachungaji (yaani viongozi) wabaya, kwa kusema yeye yuko tayari kutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo (watu) wake[2].
Lugha hiyo inategemea Zaburi 23 na sehemu nyingine ya Agano la Kale. Pia inatumika katika Injili nyingine, Waraka kwa Waebrania, Waraka wa kwanza wa Petro na kitabu cha Ufunuo][3].
Mfano huo uligusa sana Wakristo na kuchochea usanii wao tangu mwanzo.
Picha
- Kwenye katakombu za Priscilla, Roma
- Makumbusho ya Bafu za Diocletian, Roma
- Kazi ya Mjerumani Bernard Plockhorst, karne ya 19
- Lebo ya Katekisimu ya Kanisa Katoliki
- Yesu kama mchungaji kijana, Rosemont, Pennsylvania)
Tanbihi
Viungo vya nje
- media kuhusu Good Shepherd pa Wikimedia Commons
- Holman Bible Dictionary – "Shepherd" for other Biblical references.
Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mchungaji mwema kama historia yake, matokeo au athari zake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz