Mizungu
Mizungu ni kauli zenye picha na mafumbo zinazoonesha ukinzani wa fikra au tukio.
Mara nyingi mizungu hutumika kwenye hadithi za soga na kwenye mivigha.
Mifano ya mizungu ni:
- 1. Miti yote nitapanda ila mtalawanda unanishinda - maana yake mpapai.
- 2. Embe limeiva nyumbani ila nashindwa kulila - maana yake dada au ndugu yangu wa kike.
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mizungu kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz