Mkoa wa Béré
Mkoa wa Béré (kwa Kifaransa: Région de Béré; pia: Koyadougou) ni moja kati ya mikoa 31 ya nchini Cote d'Ivoire.
Mkoa wa Béré | |
Mahali pa Mkoa wa Béré (kijani) katika Cote d'Ivoire za Jimbo la Woroba | |
Nchi | Cote d'Ivoire |
---|---|
Jimbo | Woroba |
Serikali[1] | |
- Prefect | Adje Dago Remi |
- Rais wa Baraza | Karamoko Abdel Kader |
Eneo[2] | |
- Jumla | 13.293 km² |
Idadi ya wakazi (2014) | |
- Wakazi kwa ujumla | 389,758 |
GMT | (UTC+0) |
Uko katika Magharibi ya Kati ya nchi. Makao makuu ya eneo hilo ni Mankono. Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa watu 389,758.
Marejeo
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoShairiJumuiya ya Afrika MasharikiUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziNembo ya TanzaniaMshororoMikoa ya TanzaniaVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPentekosteAina za manenoTanzaniaKamusi za KiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaOrodha ya makabila ya TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845Orodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUpendo Furaha PenezaMafurikoMisimu (lugha)KumaKisaweSentensiDiamond PlatnumzKamusi ya Kiswahili sanifuKamusiMisemoMaudhuiSimba S.C.Ukwapi na utaoTanganyikaOrodha ya Watakatifu WakristoNgeliLahaja za KiswahiliMaumivu ya kiunoRoho MtakatifuNomino