Mkoa wa Ngounié
Ngounié ni moja kati ya mikoa tisa ya nchini Gabon. Mkoa unachukua eneo la kilomita za mraba zipatazo 37,750.
Mji mkuu wa mkoa huu ni Mouila.
Kwa upande wa kusini-mashariki, Ngounié umepakana na Mkoa wa Niari wa Jamhuri ya Kongo. Kwa upande wa nyumbani, mkoa umepakana na mikoa ifuatayo:
- Nyanga - kusini
- Ogooué-Maritime - magharibi
- Moyen-Ogooué - kaskazini
- Ogooué-Ivindo - kaskazini-mashariki, kwenye pembe nne ya nchi
- Ogooué-Lolo - mashariki
Wilaya
Mkoa wa Ngounié umegawanyika katika wilaya 7:
- Boumi-Louetsi Department (Mbigou)
- Dola Department (Ndende)
- Douya-Onoy Department (Mouila)
- Louetsi-Wano Department (Lebamba)
- Ndolou Department (Mandji)
- Ogoulou Department (Mimongo)
- Tsamba-Magotsi Department (Fougamou)
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoShairiJumuiya ya Afrika MasharikiUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziNembo ya TanzaniaMshororoMikoa ya TanzaniaVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPentekosteAina za manenoTanzaniaKamusi za KiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaOrodha ya makabila ya TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845Orodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUpendo Furaha PenezaMafurikoMisimu (lugha)KumaKisaweSentensiDiamond PlatnumzKamusi ya Kiswahili sanifuKamusiMisemoMaudhuiSimba S.C.Ukwapi na utaoTanganyikaOrodha ya Watakatifu WakristoNgeliLahaja za KiswahiliMaumivu ya kiunoRoho MtakatifuNomino