Mto Sigi
5°2′6″S 39°6′1″E / 5.03500°S 39.10028°E
Mto Sigi (pia: Zigi) ni mto wa mkoa wa Tanga, Tanzania Kaskazini Mashariki.
Una urefu wa kilometa 100: unaanzia katika hifadhi ya msitu ya Amani iliyopo katika wilaya ya Muheza na baada ya kubadili mwelekeo mara kadhaa unaingia katika Bahari Hindi kilometa 40 kaskazini kwa mji wa Tanga.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoShairiJumuiya ya Afrika MasharikiUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziNembo ya TanzaniaMshororoMikoa ya TanzaniaVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPentekosteAina za manenoTanzaniaKamusi za KiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaOrodha ya makabila ya TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845Orodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUpendo Furaha PenezaMafurikoMisimu (lugha)KumaKisaweSentensiDiamond PlatnumzKamusi ya Kiswahili sanifuKamusiMisemoMaudhuiSimba S.C.Ukwapi na utaoTanganyikaOrodha ya Watakatifu WakristoNgeliLahaja za KiswahiliMaumivu ya kiunoRoho MtakatifuNomino