Mwokozi
Mwokozi katika teolojia ya Ukristo, ni sifa mojawapo ya Yesu kutokana na imani ya kwamba ndiye aliyetekeleza wokovu wa binadamu wote.
Ingawa Injili hazitumii jina hilo, Mtume Paulo alilieneza kupitia nyaraka zake kuhusiana na kifo chake msalabani.[1][2]
Hivyo Agano Jipya linamtaja Yesu Kristo kama Mwokozi mara 16, likisisitiza kuwa ameokoa wote.[3]
Waraka wa kwanza wa Yohane unamtaja kama "kipatanisho cha dhambi zetu, tena si cha dhambi zetu tu, bali cha dhambi za ulimwengu" (1 Yohane 2:2).[4]
Mbali ya Yesu, Agano Jipya linatumia jina hilo kwa Mungu tu (mara 8), wakati Agano la Kale linaita watu mbalimbali kwa jina hilo, kwa sababu ya kuokoa mtu mmoja, wachache au wengi kutoka matatizo mbalimbali.
Tanbihi
Marejeo
Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mwokozi kama historia yake, matokeo au athari zake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz