Nguo

Nguo ni kitambaa ambacho kinaweza kutumika kufunikia meza, kitanda n.k. lakini hasa kutengenezea mavazi mbalimbali yanayovaliwa na mtu kwa ajili ya kujisitiri, kwa sababu ya kutunza heshima yake na kujikinga dhidi ya baridi, jua, mvua n.k. Ndiyo sababu mara nyingi neno "nguo" linamaanisha mavazi yenyewe.

Kitambaa kilivyoshonwa.
Vitambaa vya Alpaca katika soko laOtavalo, Ecuador.
Duka la nguo huko Mukalla, Yemen.

Nguo huvaliwa kulingana na hali ya hewa na mazingira fulani, lakini pia kulingana na mitindo inayobadilikabadilika kadiri ya nyakati.

Historia ya nguo

Kulingana na wanaakiolojia na wanaanthropolojia, nguo za kwanza zilikuwa manyoya, ngozi za wanyama, majani na nyasi. Uvaaji wa nguo hizi uliwasaidia binadamu haswa katika kujikinga na hewa baya, kujikinga na vumbi pamoja na dhoruba kali.

Tanbihi

Marejeo

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  • Fisher, Nora. Rio Grande Textiles (toleo la Paperbound). Museum of New Mexico Press.  Introduction by Teresa Archuleta-Sagel. 196 pages with 125 black and white as well as colour plates. Fisher is Curator Emirta, Textiles & Costumes of the Museum of International Folk Art.
  • Good, Irene (2006). "Textiles as a Medium of Exchange in Third Millennium B.C.E. Western Asia". Katika Mair, Victor H. Contact and Exchange in the Ancient World. Honolulu: University of Hawai'i Press. ku. 191–214. ISBN 978-0-8248-2884-4. 
  • Arai, Masanao (Textile Industry Research Institute of Gunma). "From Kitsch to Art Moderne: Popular Textiles for Women in the First Half of Twentieth-Century Japan" ( Archived 4 Julai 2017 at the Wayback Machine.). Textile Society of America Symposium Proceedings. Textile Society of America, January 1, 1998.
Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nguo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.