Nikola Tesla
Nikola Tesla (10 Julai 1856 – 7 Januari 1943; Kiserbokroatia: Никола Тесла) alikuwa mhandisi na mwanafizikia kutoka milki ya Austria-Hungaria aliyehamia baadaye Marekani.
Nikola Tesla | |
---|---|
| |
Alizaliwa | 10 Julai 1856 Austria-Hungaria |
Alikufa | 7 Januari 1943 New York |
Nchi | Austria-Hungaria, Marekani |
Kazi yake | mhandisi na mwanafizikia |
Tesla alizaliwa katika familia ya Kiserbia, alisoma uhandisi akajishughulisha hasa na umeme na sumakuumeme.
Mwaka 1884 alihamia Marekani alipoajiriwa na Thomas Edison lakini baadaye alitoka katika kampuni yake.
Kati ya mengi aliyobuni au aliyochangia kuna
- redio
- mkondo geu wa umeme
Viungo vya Nje
- Nikola Tesla Museum
- Tesla's Wardenclyffe Science Center Plaque [1]
- NikolaTesla.fr Archived 1 Oktoba 2011 at the Wayback Machine. - More than 1,000 documents on Tesla
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz